Mkutano wa Afrika wafungua mlango kuwalinda Albino

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika lisilo la kiserikali la "Under the same Sun" Vicky Ntetema, akiwa na msichana mwenye ualbino

Wanaharakati wa kupinga ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi au albino wanasema mkutano wa hivi karibuni wa Afrika uliofanyika Dar es Salaam Tanzania, umefungua pazia la juhudi zaidi za mapambano dhidi ya ukatili kwa albino.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS