Makampuni yasiwabebeshe 10% wananchi-Mpango

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango,

Serikali imeigiza Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano nchini (TCRA), ifitalie kwa karibu miamala ya utumaji fedha kwa njia ya simu ili makampuni yasiwaongezee mzigo wananchi katika ulipaji kodi wa asilimia 10 kama ilivyotangazwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS