Simba na Yanga kukutana Oktoba Mosi mwaka huu Watani wa jadi Simba na Yanga watakutana Oktoba 1 mwaka huu katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Read more about Simba na Yanga kukutana Oktoba Mosi mwaka huu