Serikali yafuta adhabu ya jela kuhusu risiti

Waziri wa Fedha na Mipango nchini, Dkt. Philip Mpango,

Waziri wa Fedha na Mipango nchini, Dkt. Philip Mpango, amefafanua adhabu ya kosa la kutotoa ama kudai risiti katika manunuzi na kusema kuwa serikali imefuta kipengele cha kufungwa na pia faini itatozwa kulingana na ghamara ya bidhaa itakayonunuliwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS