Sara Al-Attar atashiriki mashindano ya Olimpiki kwa mara ya pili baada ya kushiriki mashindano ya London 2012
Sasa idadi ya wanawake kushiriki Olimpiki kwa nchi ya Saudia, inaongezeka baada ya kamati ya Olimpiki ya nchi hiyo, kutangaza wanawake wanne kwenye timu ya Olimpiki, itakayokwenda Rio.