Saudi Arabia kupeleka wanawake wa nne Olimpiki

Sara Al-Attar atashiriki mashindano ya Olimpiki kwa mara ya pili baada ya kushiriki mashindano ya London 2012

Sasa idadi ya wanawake kushiriki Olimpiki kwa nchi ya Saudia, inaongezeka baada ya kamati ya Olimpiki ya nchi hiyo, kutangaza wanawake wanne kwenye timu ya Olimpiki, itakayokwenda Rio.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS