Kiboko ya Shelisheli waenda mapumziko kwa muda

Serengeti Boys wakishangilia moja ya bao la ushindi.

Kikosi cha timu ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 Serenget Boys kimevunja kambi rasmi leo na kwenda mapumziko ambapo kinatarajia kurejea tena Julai 12 mwaka huu kujiandaa na mchezo wao dhidi ya Afrika Kusini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS