Mourinho airejesha Man United yake Uingereza

Jose Mourinho akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Manchester, akiwa na kikosi chake wakitokea China, Alfajiri ya leo

Mechi moja tu ya kirafiki siyo kipimo kabisa kwa kikosi cha Mourinho, na alikuwa akihitaji mechi ya Derby dhidi ya Manchester City ili kuangalia makosa ya mechi iliyopita ya kichapo cha 4-1 dhidi ya kwa Borussia Dortmund, lakini mvua ikatibua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS