Wananchi watakiwa kuepuka uuzaji ardhi kiholela
Wananchi wilayani Ludewa, mkoani wa Njombe, wametakiwa kutunza ardhi na kujiepusha na uuzaji holela wa rasilimali hiyo, ili waweze kunufaika kupitia miradi mikubwa ya Liganga na Mchuchuma ambayo ipo mbioni kuanza mapema mwaka 2017.
