CHADEMA wahojiwa polisi kwa kufanya mikutano Mbunge wa jimbo la Karatu, Willy Qambalo Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) leo, wamehojiwa na jeshi la polisi mkoa wa Arusha, kwa tuhuma za kukiuka sheria na kufanya mikutano ya hadhara kinyume na sheria. Read more about CHADEMA wahojiwa polisi kwa kufanya mikutano