Dkt. Magufuli awashukia Viongozi wabadhirifu CCM
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli amewataka Viongozi wa Chama hicho waliojinufaisha na miradi mbalimbali ya chama hicho warejeshwe wenyewe.
