Tunatarajia kuuza Umeme nchi jirani-Prof. Muhongo Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo,amesema kuwa mradi wa Njia ya Umeme wa Msongo Mkubwa utakapokamilika utakua chanzo kikuu cha Tanzania kuuza Umeme kwa nchi jirani. Read more about Tunatarajia kuuza Umeme nchi jirani-Prof. Muhongo