Watanzania 5000 kupata ajira uwanja mpya wa ndege
Takribani watanzania 5000 wanatarajia kupata ajira ambazo zitazalishwa baada ya kukamilika kwa upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl.Julius Nyerere uliopo Jijini Dar es salaam ambao unaendelea kujengwa.

