Mil 600 hutumika kuhudumia wagonjwa wa msamaha
Hosiptali ya Taifa Muhimbili imewataka Watanzania kuhakikisha wanajiunga na bima ya Afya ili kuepuka garama kubwa za matibabu sambamba na kuipunguzia gharama kubwa hosptali hiyo yakutumia shilingi milioni 600 kuwahudumia wagonjwa wa msamaha.

