Mhe.Masauni: Madereva Walevi,watoa Rushwa Kukiona

Muonekano baada ya kutokea Ajali ya gari Mwaka jana katika kijiji cha Changarawe wilayani Mafinga mkoani Iringa

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imezindua mkakati wa kukabiliana na ongezeko la ajali za barabarani zinazosababishwa na mwendo kasi, ulevi, rushwa pamoja na kutozingatiwa kwa sheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS