Muonekano baada ya kutokea Ajali ya gari Mwaka jana katika kijiji cha Changarawe wilayani Mafinga mkoani Iringa
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imezindua mkakati wa kukabiliana na ongezeko la ajali za barabarani zinazosababishwa na mwendo kasi, ulevi, rushwa pamoja na kutozingatiwa kwa sheria.