BASATA yawataka washiriki Dance100% kuwa wabunifu

Mkuu wa matukio ya sanaa kutoka BASATA Kurwijira N Maregesi alipokuwa akizungumza na washiriki wa Dance100%

Baraza la Sanaa Tanzania BASATA limewataka washiriki wa Dance100% ambao wamefanikiwa kuendelea na nafasi ya robo fainali baada ya kushinda kwenye usaili kutambua kwamba ubunifu ndiyo msingi wa mafanikio katika kazi za sanaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS