Baada ya madawati, Mbeya kuhamia kwenye vyoo

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla akikagua madawati

Baada ya kumalizika kwa shughuli ya utatuzi wa changamoto ya madawati sasa mkoa wa Mbeya umejipanga kuelekeza nguvu zake katika utatuzi wa tatizo la upungufu wa vyoo mashuleni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS