Mwenyekiti wa mtaa adaiwa kumpa mimba mwanafunzi

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Ahmed Msangi

Mwenyekiti wa Mtaa wa Sangabuye, kata ya Igombe wilayani Ilemela mkoani Mwanza anayejulikana kwa jina la John Mayala anashikiliwa na polisi kwa kosa la kumtorosha na kumpa ujauzito mwanafunzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS