Mwenyekiti wa mtaa adaiwa kumpa mimba mwanafunzi Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Ahmed Msangi Mwenyekiti wa Mtaa wa Sangabuye, kata ya Igombe wilayani Ilemela mkoani Mwanza anayejulikana kwa jina la John Mayala anashikiliwa na polisi kwa kosa la kumtorosha na kumpa ujauzito mwanafunzi. Read more about Mwenyekiti wa mtaa adaiwa kumpa mimba mwanafunzi