Upinzani wafanya vizuri uchaguzi Afrika Kusini

Kiongozi wa Chama Tawala cha Afrika Kusini ANC,Jacob Zuma

Vyama vya upinzani nchini Afrika Kusini vinaonekana kufanya vizuri kwenye baadhi ya maeneo katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika wiki hii nchini humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS