Jessie Vargas na Manny Pacquiao.

Mwanandondi Manny Pacquiao atarejea ulingoni tarehe 5 Novemba kupambana na bingwa wa dunia wa uzani wa welter Jessie Vargas wa Marekani licha ya kuwa alitangaza kwamba angestaafu baada ya kumshinda Timothy Bradley mwezi Aprili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS