Wanaharakati kuendeleza kupinga ndoa za utotoni

Mkurugenzi mtendaji wa Chama cha wanahabari wanawake Tanzania-TAMWA- Valerie Msoka.

Wanaharakati wa kupinga ndoa za utotoni kwa watoto wa kike pamoja na mimba za utotoni wamesema wataendelea kutoa elimu juu ya madhara ya ndoa hizo kwa jamii licha ya kuwepo pingamizi mahakani juu ya marekebisho ya sheria hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS