Wanafunzi wa vyuo vilivyofutwa, kuhamishwa Mkurugenzi wa Usajili na Ithibati NACTE, Bi. Twilumba Mponzi Baraza la Taifa ya Elimu ya Ufundi (NACTE) limewatoa hofu wanafunzi waliokuwa katika vyuo vilivyofutiwa usajili na baraza hilo, na kusema kuwa watahamishiwa katika vyuo vingine. Read more about Wanafunzi wa vyuo vilivyofutwa, kuhamishwa