Hatuwaogopi Ndanda FC, tutawafunga tu - Mbao FC Kikosi cha Mbao FC Timu ya Mbao FC imeahidi kuchukua pointi tatu mbele ya Ndanda FC hii leo katika mchezo wa muendelezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara utakaopigwa katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Read more about Hatuwaogopi Ndanda FC, tutawafunga tu - Mbao FC