Mombasa yasisitiza kukata ushuru wa makontena Kati ya eneo la bandari ya Mobasa. Kaunti ya Mombasa inaendelea kushinikiza pendekezo lake la kutoza ushuru kwa makontena yanayosafirishwa kutoka bandarini licha ya kuwepo na upinzani kutoka kwa wasafirishaji pamoja na serikali ya Kenya. Read more about Mombasa yasisitiza kukata ushuru wa makontena