Serikali kununua ndege nyingine mbili za abiria

Rais Magufuli akiwa na maafisa na viongozi wengine mbalimbali akikata utepe kuzindua rasmi ndege mbili mpya za serikali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam Septemba 28, 2016

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, leo amezindua rasmi ndege mbili mpya aina ya Bombardier Q400 zilizonunuliwa na serikali kwa ajili ya Shirika la Ndege la Taifa la Tanzania (ATCL), ili kuboresha safari za anga nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS