Viongozi watakiwa kumuenzi Mwl Nyerere kwa vitendo

Rais wa kwanza wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere

Viongozi wa vyama vya siasa wametakiwa kuiga kwa vitendo uzalendo na moyo wa kujitoa aliokuwa nao Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere enzi za uhai wake ili kuliwezesha taifa kupiga hatua kimaendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS