Waziri Mkuu aonya madiwani wasio waadilifu Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kasim Majaliwa. Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kasim Majaliwa amewataka madiwani kuwa waadilifu na waminifu katika kutekeleza majukumu yao mbalimbali ikiwemo kusimamia miradi ya maendeleo kwa ajili ya wananchi. Read more about Waziri Mkuu aonya madiwani wasio waadilifu