Rayvanny amfananisha Diamond Platnumz na pesa

Rayvanny (Kushoto) wakifanya perfomance ya ngoma ya Salome na Diamond katika FNL ya EATV

Msanii kutoka WCB Wasafi Raymond a.k a Rayvanny amefunguka na kusema kuwa vitu vyenye majina mengi siku zote huwa ni hatari sana hivyo hata yeye anashindwa kumuelezea Diamond Platnumz kutokana na moyo wake wa upendo na kujali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS