UNHCR, Afrika zafikia muafaka wakimbizi wa Rwanda

Mkuu wa UNHCR Filippo Grandi.

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR na ujumbe kutoka nchi za Afrika , pamoja na Muungano wa Afrika wameafikiana hatua za mwisho za kumaliza suala la muda mrefu la wakimbizi wa Rwanda baada ya miaka saba ya majadiliano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS