Madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutua nchini

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (Wa pili kushoto) akiwa katika kiwanda cha magodoro, cha Dodoma, kulia kwake ni Bw. Haidary Gulamali na kushoto ni Waziri wa Sera, Jenista Mhagama

Mkurugenzi wa kiwanda cha magodoro cha Dodoma Asili Bw. Haidary Gulamali amesema atawaleta madaktari bingwa 14 kuja kufanya upasuaji wa moyo bure kwa watoto watakaobainika kuwa na matatizo hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS