Majimaji yaendelea kugawa sadaka ya point Kikosi cha Majimaji Timu ya Majimaji ya Songea imeendelea kuwa shamba la bibi kwa kugawa point baada ya leo kupigwa mabao 2-0 na Stand United katika uwanja wake wa nyumbani wa Majimaji mjini Songea. Read more about Majimaji yaendelea kugawa sadaka ya point