Serikali haina matumizi ya takwimu sahihi - Samia

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan akihutubia katika mahafali

Makamu wa wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekiri kuwa wizara, idara na taasisi za serikali zina matumizi madogo ya takwimu sahihi zinazotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu nchini  hali ambayo inachangia kurudisha nyuma mipango ya maendeleo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS