Polisi mkoani Mtwara wazuia mkutano wa Maalim Seif

Polisi wakiwa nje ya chuo cha SAUT Mtwara

Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limezingira chuo cha SAUT mkoani humo na kuzuia mkutano wa ndani wa chama cha CUF, uliokuwa unahudhuriwa na katibu Mkuu wa Chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS