Rais Magufuli aongoza wakazi Dar kumuaga Mungai
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ameongoza viongozi na mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kuuaga mwili wa aliyewahi kuwa Waziri na Mbunge Mstaafu marehemu Joseph Mungai.