Alikiba aibuka kinara tuzo za EATV
Ikiwa ni mara ya kwanza kwa mwaka huu 2016 kampuni ya East Africa Television LTD kufanya tuzo zinazofahamika kama EATV AWARDS msanii Alikiba ameibuka kinara kwa kuzoa jumla ya tuzo tatu ambazo ni wimbo bora wa mwaka, video bora ya mwaka, mwanamuziki

