Ommy Dimpoz aimwagia sifa BASATA Ommy Dimpoz Msanii wa bongo fleva Ommy Dimpoz amelisifia Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kwa kuwafanyia kazi wasanii ambao wanajishughulisha na kuimba mambo yasiyofaa pamoja na matusi katika nyimbo zao. Read more about Ommy Dimpoz aimwagia sifa BASATA