Ommy Dimpoz aimwagia sifa BASATA

Ommy Dimpoz

Msanii wa bongo fleva Ommy Dimpoz amelisifia Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kwa kuwafanyia kazi wasanii ambao wanajishughulisha na kuimba mambo yasiyofaa pamoja na matusi katika nyimbo zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS