Rais wa Gambia aliyeshindwa awa 'kigeugeu' Yahya Jammeh - Rais wa Gambia Kiongozi wa Gambia Yahya Jammeh amepinga matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika nchini humo mwezi huu wiki moja baada ya awali kuyakubali matokeo hayo. Read more about Rais wa Gambia aliyeshindwa awa 'kigeugeu'