Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipokelewa na Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. JUmanne Maghembe (Kushoto) na Naibu wake Mhandisi Ramo Makani (Katikati) muda mfupi kabla ya mkutano wake na watendaji wa wizara hiyo kuanza
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuanzia leo Ofisi ya Rais TAMISEMI haina budi kusitisha usajili wa vijiji hadi zoezi la kuweka alama kwenye mipaka mapori ya hifadhi za misitu litakapokalimika.