Prisons yaanika mipango ya usajili dirisha dogo Tanzania Prisons Uongozi wa timu ya Tanzania Prisons umesema usajili ndani ya timu hiyo utafanyika mara baada ya kuipitia ripoti ya Kocha ili kuhakikisha unafanya marekebisho yatakayoleta faida ndani ya timu hiyo. Read more about Prisons yaanika mipango ya usajili dirisha dogo