Prisons yaanika mipango ya usajili dirisha dogo

Tanzania Prisons

Uongozi wa timu ya Tanzania Prisons umesema usajili ndani ya timu hiyo utafanyika mara baada ya kuipitia ripoti ya Kocha ili kuhakikisha unafanya marekebisho yatakayoleta faida ndani ya timu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS