Kila mtanzania kupimwa matumizi ya dawa za kulevya

Prof Samuel Manyele - Mkemia Mkuu wa Serikali akiwa na ya Studio za EA Radio

Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali imesema itaanza kuwapima wananchi kupitia makundi mbalimbali wakiwemo wanafunzi kubaini endapo wanatumia dawa za kulevya ili hatua stahiki zichukuliwe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS