Vijana zaidi ya 2,500 nchini watengewa mabilioni

Baadhi ya vijana wa kitandani katika maadhimisho ya siku ya vijana duniani

Waziri Mkuu Kassim Mjaliwa amesema Serikali imetenga sh. bilioni 15 kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa vijana zaidi 2,500 ili kuwajengea uwezo waweze kushiriki kama nguvu kazi kwenye viwanda vinavyotarajiwa kujengwa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS