TFF yaandaa mchezo maalum msiba wa Ismail Khalfan

Tukio la kifo cha Mchezaji Ismail Khafan katika dimba la Kaitaba

Timu za Kagera Sugar na Mbao FC zinataraji kukutana Jumamosi ya Desemba 10 katika uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza katika mchezo maalum wa kirafiki kwa ajili ya rambirambi za kifo cha mchezaji Ismail Khalfan.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS