Wafanyabiashara wafunguka kuhusu bei za sikukuu

Wafanyabiashara wa mchele katika soko la Mapinduzi lililopo Mwananyamala Jijini Dar es Salaam wameahidi kutopandisha bei ya mchele katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka kama ilivyo katika masoko mengine

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS