Simba na Azam katika fainali ya kihistoria Vijana wa Azam wakishangilia ushindi wa jana Timu za Simba SC na Azam FC zimefanikiwa kuingia katika hatua ya Fainali ya Michuano ya Vijana wenye umri chini ya miaka 20 zinazotarajiwa kuchezwa hapo kesho katika Uwanja wa Chamazi jijini Dar es salaam Read more about Simba na Azam katika fainali ya kihistoria