Simba na Azam katika fainali ya kihistoria

Vijana wa Azam wakishangilia ushindi wa jana

Timu za Simba SC na Azam FC zimefanikiwa kuingia katika hatua ya Fainali ya Michuano ya Vijana wenye umri chini ya miaka 20 zinazotarajiwa kuchezwa hapo kesho katika Uwanja wa Chamazi jijini Dar es salaam

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS