120 wakumbwa na kipindupindu Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Zaidi ya wagonjwa 120 wanaugua kipindupindu katika wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma baada ya kupokea wagonjwa wapya watatu wakitokea katika mkoa wa Morogoro. Read more about 120 wakumbwa na kipindupindu Dodoma