TFF yashusha rungu kwa vilabu, yamfungia Hans Hans van der Pluijm Kamati ya saa 72 ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi nchini imewafungia mechi tatu na faini ya shilingi laki tano Kocha wa Yanga Hans van der Pluijm pamoja na Kocha wa Azam FC, Zeben Hernandez. Read more about TFF yashusha rungu kwa vilabu, yamfungia Hans