Serikali kupangua sheria zinazokwamisha uwekezaji
Serikali imesema inazitambua changamoto zinazowakabili waajiri nchini ikiwemo uwepo wa tozo mbalimbali zinazotolewa na Mamlaka tofauti za Serikali kwa huduma ileile, na kusema itazifanyia mapitio sheria zinazoweka changamoto hizo.