TFF yazionya Yanga na Azam michuano ya kimataifa

Alfred Lucas - Afisa habari TFF

Shirikisho la Soka nchini (TFF) limevitaka vilabu vya Yanga na Azam ambavyo vitashiriki michuano ya kimataifa kukamilisha mapema zoezi la kujaza fomu ambazo zinawasaidia kupata leseni za kushiriki michuano hiyo kutoka Shirikisho la Soka Afrika CAF

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS