Kapombe atuma salamu kwa wapinzani

Shomari Kapombe

Mara baada ya kupona majeraha ya nyonga, beki wa kulia wa Azam FC Shomari Kapombe amesema, hivi sasa anapambana vilivyo kurejesha makali yake yaliyomfanya akubalike na mashabiki wa timu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS