Waziri Mkuu ampa siku 7 Waziri Mwakyembe

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akifungua Mkutano wa 21 wa Chama cha Wanasheria Afrika Mashariki

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wiki moja kwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Harrison Mwakyembe kumpa maelezo kuhusu sababu za Tanzania kutokukamilisha mkataba wa Mawakili wa Afrika Mashariki kutambuana katika utendaji wao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS