Serikali yasisitiza maboresho elimu ya juu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka katika viwanja vya Mahafali ya 31 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika chuoni Bingo kibaha Mkoani Pwani, katikati ni Mkuu wa chuo hicho Mizengo Peter Pinda na kushoto ni Waziri wa Elimu, Sayansi ,Tekinolojia na mafunzo ya ufundi Prof. Joyce Lazaro Ndalichako

Serikali itaendelea kusimamia ubora wa elimu kwa kuhakikisha shule na taasisi zinadahili wanafunzi wenye sifa stahiki za kujiunga na kozi wanazoomba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS