Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano Barclays Bank Tanzania Aron Luhanga
Benki ya Barclays Tanzania imeeleza mafanikio ya kampeni yake ya 'Ready To Work' kupitia Tuzo za EATV zilizohitimishwa hivi karibuni, ambapo benki hiyo ilikuwa mmoja wa wadhamini.