Salamu kwa trafiki wapenda rushwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni, amesema askari wanaojihusisha na vitendo vya rushwa na kushindwa kusimamia sheria wajiondoe kabla ya kuondolewa kwa fedheha. Read more about Salamu kwa trafiki wapenda rushwa